ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, September 5, 2012

WAISHIO MABONDENI WATAHADHARISHWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA JUU YA UJIO WA EL NINO.

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imetoa tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa zinazofahamika kama El nino katika kipindi cha kuanzia wiki ya nne ya mwezi September hadi kufikia December 2012 katika maeneo mbalimbali Tanzania.
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Dr. Agnes Kijazi amesema hizo mvua zinatarajiwa kusababishwa na mgandamizo mkubwa wa mfumo wa hewa kutoka katika misitu iliyo katika ukanda wa bahari ya hindi, tahadhari iwafikie wote wakiwemo wakulima na wanaoishi kwenye maeneo ya mabonde.

Source;Millard Ayo

No comments:

Post a Comment