ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, September 12, 2012

KILICHOFIKIWA NA WAANDISHI BAADA YA MAANDAMANO.

Jukwaa la Wahariri Tanzania pamoja na waandishi wa habari waliungana na kufanya maandamano kuanzia mkao makuu ya kituo cha Television cha Channel Ten mpaka kwenye viwanja vya Jangwani Dar es salaam september 11 kupinga mauaji ya mwandishi wa habari Daudi Mwangosi alieuwawa kwa kulipukiwa na bomu akiwa mikononi mwa polisi Iringa wakati polisi walipokua wakiwatawanya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mjumbe wa jukwaa la wahariri kutoka Zanzibar Masoud Sanani kwenye maandamano hayo Jangwani  alitangaza maazimio yaliyofikiwa na washiriki wa maandamano hayo, namkariri akisema “kwa siku 40 hizi za maombolezo tusiandike habari ya polisi, polisi hata akifanya kitu gani tusiandike, wataandika kwenye gazeti lao la polisi wanalo”


sOURCE;Millard Ayo

No comments:

Post a Comment