ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, September 12, 2012

UNAMJUA R.O.M.A??HUYU HAPA.

Anaitwa Ibrahimu mwenyeji wa Tanga aliekulia Dar,

ROMA ni kifupi cha Rhymes Of Magic Attraction
Yeye ni mtoto wa mwisho(kitinda mimba) kutoka katika familia ya watoto 5.

Kwa imani,Yes ni kweli kwamba yeye ni mkristo wa madhehebu ya Roman Catholic
Hivi sasa yeye ndio anashikilia tuzo ya Kilimanjaro ya  msanii bora wa Hip Hop nchini Tanzania.

sOURCE; BongoCelebrity

No comments:

Post a Comment