ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Monday, October 29, 2012

DIMPOZ AFUNGUKA KUMSAMEHE LORD EYEZ,ASEMA "BAADAE" IMEMUINGIZIA MKWANJA MREFU!



The musical stars of the new generation in Mommy Dimpoz has said that despite the use of 5 million shillings to return his car to the condition usually can not hate a fellow artist Lord Eyez who held custody today on suspicion of stealing equipment from his car.
Speaking to fredyse1 blog earlier today Mommy Dimpoz has opened that although currently not allowed to say anything about it but it has the right to say that self-righteousness and NAMUACHIA MUNGU.
"I know that was not allowed to speak anything for that matter is the police, I can tell you that personally I forgive him Lord and his colleagues, because you do not know about tomorrow, I plan to meet him and tell him this thing, I feel bad but I am grateful that my car have gt service and now yes I am using again although I have a great COSTS "said Dimpoz.



In the next stage The Song star of 'Baadae' has revealed that the song has gave him large amounts of money they were different from his expectations while also he gathered about him a multitude of friends inside and outside the country through song of BAADAE.
Source;Teentz

COVER YA NGOMA MPYA YA DIAMOND PLATINUMZ HII HAPA!!!

Kama ulikua bado hujaiona cover ya ngoma mpya ya diamond platinumz NATAKA KULEWA mzigo huu hapa kwa mtazamo wangu imekaa fresh though mchizi asivimbe saana kichwa!!
 Hizi nyingine ni za zamani ingawaje kwa mtazamo wangu zimekaa poa pia keep it up kijana na endelea kukza hivo hivo tho kuvua nguo jukwaani sio ishu wala nini huo ni UBWABWA



CONGRATS BRO!


Cover photo source;Millard Ayo

Sunday, October 28, 2012

AFANDE SELE AZIDISHA MACHUNGU YA KUGOMBEA UBUNGE BAADA YA NAIBU WAZIRI WA ELIMU MH.PHILIP MULUGO KUCHAPIA HUKO SAUZI.

Baada ya Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Philip Mulugo kuomba radhi kwa wote waliomfikiria vingine baada ya kuzungumza kwenye mkutano Afrika Kusini kwamba Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe msanii wa bongofleva Afande Sele ametoa maoni yake.
Sele ambae ameahidi kugombea ubunge wa Morogoro mjini 2015 huku akisisitiza kwamba atakua kwenye chama pinzani na sio CCM namkariri akisema “ni jambo lisilofikirika licha ya dhamana ya uwaziri aliyonayo muheshimiwa Waziri inasikitisha, kitu kibaya ni kwamba yeye ni naibu Waziri wa elimu na hilo swala linahusiana na maswala ya kitaaluma, nchi imepata uhuru mwaka gani, imeingia kwenye muungano mwaka gani, imeungana na nchi gani”
“Inasikitisha kwa sababu ni waziri halafu ni Waziri wa Elimu na swala lenyewe linahusiana na swala la kielimu, kama waziri mwenye dhamana ya elimu anashindwa kutambua basi ndio maana wanasema kwamba mtandao mzima wa serikali yetu basi mara nyingi haufanyi kile ambacho watu wanategemea kwamba kingefanywa vizuri, ndio maana inasainiwa mikataba mibovu kwa sababu mtu anawekwa kwenye  nafasi ambazo hakustahili kuwepo” – Afande Sele



Source;Millard ayo

MATONYA AFUNGUKA KUHUSU MAENDELEO YAKE KUHUSISHWA NA NDUMBA.


Kwa yeyote anaefatilia bongofleva toka kitambo kidogo najua jina la Matonya lazima litakua kwenye list ya familia ya wanabongofleva.
Ni jina ambalo limekua kwenye vichwa vya vizito vya habari mara kadhaa kutokana na stori kama ya kukamatwa na dawa za kulevya Chinapamoja na stori nyingine.
Stori ya mwisho mimi kuisikia na nikawa na hamu ya kuifahamu ni kuhusu taarifa kwamba msanii huyu mzaliwa wa Tanga  amekwama kwenye ishu zake za maendeleo kwa sababu kuna watu wanamloga asifanikiwe tena ikiwemo kukwamisha uzinduzi wa hoteli yake aliyoijenga Tanga ambayo ilitakiwa kufunguliwa toka miezi sita iliyopita.
Namkariri akisema “nilikua na harakati hizo za kufungua hoteli lakini majukumu yalinizidi nguvu kidogo lakini taratibu yangu iko palepale japo ile time niliyotarajia haikufanikiwa lakini bado nina mpango huo japo sitotaja siku, kuhusu ushirikina hiyo inasemekana lakini siwezi kusema ni kweli au sio kweli kwa sababu hayo ni mazingira ambayo yametuzunguka, mazingira yetu sisi waswahili”

Source;Millard Ayo

Tuesday, October 2, 2012

SERIKALI YA KENYA KUKAMATA SIMU ZA KICHINA MIKONONI MWA WATU.

Mtangazaji wa Citizen Tv/Radio William Tuva ameripoti kwamba wakenya walionunua simu feki wapo kwenye wakati mgumu na itawabidi wanunue simu original kwa sasa ili kurudi tena kwenye mawasiliano.
Ameripoti pia kwamba inasemekana katika mtandao wa simu za mkononi wa Safaricom peke yake ni wateja laki sita ambao wameripotiwa simu zao kuzimwa kwa sababu ni feki.
Kwenye line nyingine Tuva ameripoti pia kwamba Kenya imepoteza mabilioni ya shilingi kutokana na simu feki ambazo zimekua zikiingia sokoni kwa njia ambayo sio halali.
Baadhi ya wananchi ambao simu zao zimefungwa wamekaririwa wakisema waliamka asubuhi na kukuta simu zao hazifanyi kazi, kumbe tayari zimeshazimwa kiteknolojia na tume ya mawasiliano nchini humo ambapo kwa mujibu wa BBC n wateja milioni mbili na nusu ambao simu zao zimezimwa.