ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Sunday, September 9, 2012

FID AWAFUNGUA MACHO WATANZANIA BAADA YA ORIJINO KOMEDI KUMDIS.

Siku tatu baada ya Fid Q kutuhumiwa na orijino komedi kwa kukopy na kupesti wimbo wake wa danger kutoka kwa msanii wa marekani,leo hii amezungumza na kusema kuwa jamaa aliechana kwenye beat hiyo ni mwizi.

"ametuibia sisi yaani mimi na producer choba..mwanzoni aliomba kuitumia lakini alishindwa kuilipia akaingia mitini.. ndio maana ni msanii ambae hapatikani twitter, facebook na wala hana website na yeyote atakaekuwa na info zake atuambie maana wenyewe tunamtafuta"


 Fid Q hakuishia hapo aliendelea na kusema kuwa, tusione mtu mweupe tukadhani yeye ndio originator wa kitu flani...na kuzungumzia kuhusu wimbo wake wa sihitaji marafiki kuridiwa na mmarekani anaeitwa Benjamin kutoka Filladelfia Marekani, ambae ameomba kufanya hivyo...




Source;Dj Fetty

No comments:

Post a Comment