ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Tuesday, September 11, 2012

NMB NA MPANGO WA FINANCIAL FITNESS KUSAIDIA ELIMU YA TANZANIA.

Benki ya NMB imewafikia wanafunzi 45,000 wa shule za msingi katika mpango wake wa kukuza uelewa wa maswala ya kifedha uitwao NMB Financial Fitness. Mpango huo ulioanzishwa mwezi Mei mwaka huu, una lengo la kuwahamasisha wanafunzi kujiwekea akiba kwa kutumia huduma za kibenki wanapokua wakubwa. 

Akizungumza katika utambulisho huo, mwanafunzi wa shule ya Liwale iliyopo mkoani Lindi Idrissa Ndumbaro aliishukuru benki ya NMB kwa elimu hiyo ambayo baadae itamwezesha kuwa na uelewa wa matumizi mazuri ya fedha pamoja na kujiwekea akiba.


Source;Mjengwa

No comments:

Post a Comment