ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Sunday, September 9, 2012

MWASITI KUREKODI NGOMA MPYA KWA PRODUCER MMAREKANI.

Mwasiti ambae kwa sasa anafanya vizuri sana na pini lake MAPITO, ametoa info kuwa kwa sasa amefanya ngoma na producer mkubwa marekani anaeitwa Hakeem.

Producer Hakeem ameshatengeneza ngoma ya Akon (i wanna be with you),ngoma ya Youssundou na nyingine kibao."Nimefanya nae ngoma mbili moja ikizungumzia wanawake na matatizo yanayowakuta, ila ya pili ipo kibongo fleva zaidi, nimefurahi sana na naiheshimu sana kazi yangu." amesema Mwasiti.



Source;Dj Fetty

No comments:

Post a Comment