ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, December 27, 2012

ATTENTION!!!!!!


A young and talented Artist from the label SEE RECORDS under producer and director Fredyse1711 mwite Dennis Mlay a.k.a SHASO da MAse toka kundi la GOLDEN ICONS made by various artists and dancers like Gwiji Fr.......need yo support guyz coz muziki na dancing Tz inapunguza vijana from alcoholism and wizi?www.skia24.blogspot.com

enjoy your holiday with classic new bangs!representing GOLDEN ICONZ ts "SHASO" with a track "WE GETTING PAID"the track produced by ALFRED KOMBA "FREDYSTAR'' at baboon records,SHASO who represents GOLDEN ICONZ ,a crue made up of more than one artist that is to say is more than an empire,it includes rappers like GWIJIfr,YOUNG XKEE and SHASO him self including a singer FATMA D'LICIOUS!nevertheless GOLDEN ICONZ icludes dancers too and there we can mention Michael Wambura "the G.O.AT.",SMART GEE and others.ICONZ mention FREDYSE1 as their audio executive producer & director.For other updates visit facebook.com/golden icons.

 

Powered by skia24.blogspot.com & fredyse1.blogspot.com


Monday, December 24, 2012

FALLY IPUPA KUFYATUA MJENGO TANZANIA.




Mungu akijalia 2013 utakua mwaka ambao Tanzania itaingia kwenye headlines, Tanzania itapata mgeni miongoni mwa wageni ambao wamepanga kuja kuishi hapa.

Pamoja na ustaa alionao na utajiri alionao ambao umetokana na muziki anaoufanya, mkali ambae alichaguliwa kuiwakilisha Congo DRC kwenye kolabo na R. Kelly, mkali ambae alipenyeza mpaka kupata shavu la kufanya kolabo na staa Olivia wa G unit time hizo, Fally Ipupa ametangaza kwamba katika sehemu ya makazi yake Africa, anahitaji kuja kuishi Tanzania pia na mpango huo ameufikiria kuanzia mwakani.



Fally Ipupa ambae ni staa kwenye muziki Africa amesema mipango yake ya 2013 ni pamoja na kununua au kujenga nyumba na kuishi Tanzania.
Kwa sasa anaishi Congo ambako ndio kwao, ana miliki nyumba Paris Ufaransa pia ambako ameanza kuishi miaka 7 iliyopita, na baada ya kuvutiwa na Tanzania, Fally ameamua Tanzania iwe sehemu ya makazi yake.
Source:millard Ayo

Monday, November 19, 2012

KAMA ULIKUA HUZIJUI TUZO ZA CHANNEL O HIZI HAPA.



Most Gifted African East Video of the Year-Ay ft Sauti so l

Most Gifted Duo or group video of the year featuring P-Square ft. Akon and May D


Most Gifted Ragga - Buffalo Souljah Ft Cabo Snoop - target Inonyengesa

Most Gifted African West Video D-Black ft Mo 'Cheddah (Nigeria) - Falling.

Most Gifted South African video of the year Cashtime Fam - Shut It Down

Most Gifted Female Video of the year - Zahara - Loliwe

Most Gifted R & B Video - Flavour ft roasting Savage - Maoyi rmx

Most Gifted Dance Video - DJ Cleo - Facebook

Most Gifted Kwaito Video - EEA and Mandoza - ayoba

Most Gifted Newcomer Video - Davido - Dami Duro

Most Gifted Afro Pop Video - Brymo - Ara

Most Gifted Hip Hop Video - Ice Prince - Superstar

Most Gifted Male Video and Most Gifted Video of the Year Oliver Twist by D'banj taken

Special Recognition Award won Oskido

MANEKE AKANA KUWA SI KILAZA WA KUCOPY NA KUPASTE BEATS.





When the song of the Diamond 'I want to get drunk' if you make a topic in the media tablet ONS and the various networks of community where many say beat it resembles a 100 percent to the beat of the song Pasha alomshirikisha Fruit Man 'Child Amekua', Manecky of AM records who is who made ​​'I want to get drunk' said beat of the song is quite different from that of the song Pasha.
Producer him who is the winner of the copy music awards 2011 as producer of the year was opened with an emphasised have no sample beat any part that the the beat he made ​​for his own ideas from scratch.


Asked his opinion as beat the two are similar or unlike, he says, "for something that I can listen to these beat two different, say no idea the lead sound that may have similarities Disagree, the For I repeat say stagnant, I am someone who nasikiliza music every day, and is a human and not a computer is not something Flani which says something Flani do it ...! "

Manecky said even Fruit Man had listened to 'beat the I drunk' often simply but could not kuifananisha to that song Pasha who himself He has set up Vocal him to beat the same inayofananishwa, but apparently he pousikia people say the same then he shtukia be possible is hivyo.Duuuh ..!

Actually we differ kushtukia copy, others were heard even player only first Fruit Man are shtukia but he has confounded much later and use that beat.


Anthem Challenge Diamond has got a very big since au-official release, a short time after the appearance resembles beat Pasha ft. song. Fruit Man 'I want to get drunk', H-father came forward to accuse Diamond robbing the idea for the song again while deliberately set publicly documented demo of his song 'I want to get drunk' at the Q-Chillah.

source;Mateja

WEMA NA MAPYA NO APPOINTMENT NO KUFUNGULIWA NA MLINZI.

ACTION of staa the film Bongo, Kindness Sepetu tell his guard if he could make any directions that his mother, Mariam Sepetu comes, he arrives at the door to let you go kimewashangaza many.
 
Initially, Good explained that he had reorganized the men to meet him and that those who go to him without notice will stop At the gates.

This statement prompted our correspondent to ask if even his mother walking her without 'apointimenti' can not enter inside when he insisted on saying that, the procedure is for all people, including its parent him.

"Coming without notice can not enter into. Not only him, but my sister, my friend any person, the manager of my to you if I gave orders to the guards let you know you will end up outside and you called me do not receive, "said Good.

statement that caused some people kumshangaa to say that this procedure is not good as to step mother asked him to put apointimenti then amtembelee is looking a curse.






Source;Mateja

AIRTEL TANZANIA YASAIDIA UANZISHWAJI WA RADIO ZA KIJAMII VIJIJINI KULETA MAENDELEO IKIANZIA LOLIONDO.

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya. Waziri wa mawasiliano kubariki mradi huo wa radio za kijamii vijijini kwa mara ya kwanza.Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na shirika la umoja wa mataifa la UNESCO Jumamosi tarehe 17 Novemba watazindua rasmi radio ya jamii katika kijiji cha Ololosokwani kilichopo tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha.

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya ametaarifu kuwa sherehe ya uzinduzi wa radio hiyo ya kijamiiinatarajiwa kuhudhuriwa na mgeni wa heshima Waziri wa Mawasiliano nchini Profesa Makame Mbarawa katika kijijini cha Ololosokwani Akiendelea kuelezea alisema "Airtel na Unesco wanatimiza dhamira waliojiweke ya kuwafikia na kusaidia jamii zilizopo pembezoni hasa wakina mama ambao katika jamii hizi wamekuwa wakiachwa nyuma katika mambo mengi na mwisho wake kutotambua nafasi zao" Singano alisema "Mradi huu utasaidia kupigana na kutokomeza changamoto za mila zilizopitwa na wakati zikiwemo ukiketwaji wa wanawake, elimu duni, imani za kishirikina, umaskini ,unyanyasaji wa kijinsia, kukua kwa kasi kwa ugonjwa wa ukimwi na matatizo mengine maandalizi ya sherehe ya ufunguzi yamekamilika na kubainisha kuwa wananchi wa vijiji vyote jirani na ololosokwani takribani vijiji 14 watafaidika pia kwa kujipatia huduma bora kutoka Airtel ikiwemo ile ya Airtel Money pesa mkononi wakati wowote kijijini hapo alimaliza kusema Bi, Singano.


Akifafanua kuhusu ufungwaji wa Mitambo hiyo ya radio, Afisa mradi wa habari na mawasiliano UNESCO Yusuph Al Amin amesema "mradi wetu wa kijamii umekamilika, tunawashukuru Airtel na wananchi wote kwa ushirikiano wao wa kutuunga mkono kukamilisha lengo, mitambo hii ya mawasiliano utatoa fulsa kwa wakazi wote wa ololosokwani na vjiji jirani kujifunza mambo mapya, pia tunaanzisha multimedia center ambayo utawaweza wakazi wa kijiji hapa kutembelea tovuti mbalimbali, na kuunganishwa na mtandao wa kisasa wa intaneti ya Airtel"Sehemu nyingine zitakazonufaika na mradi huo wa radio za kijamii ni pamoja na Sengerema Mwanza, Karagwe Kagera, Chake Chake Pemba, Makunduchi Unguja, Pangani Tanga, Kyela Mbeya na KaHama Shinyanga.



Source;Mateja

Monday, October 29, 2012

DIMPOZ AFUNGUKA KUMSAMEHE LORD EYEZ,ASEMA "BAADAE" IMEMUINGIZIA MKWANJA MREFU!



The musical stars of the new generation in Mommy Dimpoz has said that despite the use of 5 million shillings to return his car to the condition usually can not hate a fellow artist Lord Eyez who held custody today on suspicion of stealing equipment from his car.
Speaking to fredyse1 blog earlier today Mommy Dimpoz has opened that although currently not allowed to say anything about it but it has the right to say that self-righteousness and NAMUACHIA MUNGU.
"I know that was not allowed to speak anything for that matter is the police, I can tell you that personally I forgive him Lord and his colleagues, because you do not know about tomorrow, I plan to meet him and tell him this thing, I feel bad but I am grateful that my car have gt service and now yes I am using again although I have a great COSTS "said Dimpoz.



In the next stage The Song star of 'Baadae' has revealed that the song has gave him large amounts of money they were different from his expectations while also he gathered about him a multitude of friends inside and outside the country through song of BAADAE.
Source;Teentz

COVER YA NGOMA MPYA YA DIAMOND PLATINUMZ HII HAPA!!!

Kama ulikua bado hujaiona cover ya ngoma mpya ya diamond platinumz NATAKA KULEWA mzigo huu hapa kwa mtazamo wangu imekaa fresh though mchizi asivimbe saana kichwa!!
 Hizi nyingine ni za zamani ingawaje kwa mtazamo wangu zimekaa poa pia keep it up kijana na endelea kukza hivo hivo tho kuvua nguo jukwaani sio ishu wala nini huo ni UBWABWA



CONGRATS BRO!


Cover photo source;Millard Ayo

Sunday, October 28, 2012

AFANDE SELE AZIDISHA MACHUNGU YA KUGOMBEA UBUNGE BAADA YA NAIBU WAZIRI WA ELIMU MH.PHILIP MULUGO KUCHAPIA HUKO SAUZI.

Baada ya Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Philip Mulugo kuomba radhi kwa wote waliomfikiria vingine baada ya kuzungumza kwenye mkutano Afrika Kusini kwamba Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe msanii wa bongofleva Afande Sele ametoa maoni yake.
Sele ambae ameahidi kugombea ubunge wa Morogoro mjini 2015 huku akisisitiza kwamba atakua kwenye chama pinzani na sio CCM namkariri akisema “ni jambo lisilofikirika licha ya dhamana ya uwaziri aliyonayo muheshimiwa Waziri inasikitisha, kitu kibaya ni kwamba yeye ni naibu Waziri wa elimu na hilo swala linahusiana na maswala ya kitaaluma, nchi imepata uhuru mwaka gani, imeingia kwenye muungano mwaka gani, imeungana na nchi gani”
“Inasikitisha kwa sababu ni waziri halafu ni Waziri wa Elimu na swala lenyewe linahusiana na swala la kielimu, kama waziri mwenye dhamana ya elimu anashindwa kutambua basi ndio maana wanasema kwamba mtandao mzima wa serikali yetu basi mara nyingi haufanyi kile ambacho watu wanategemea kwamba kingefanywa vizuri, ndio maana inasainiwa mikataba mibovu kwa sababu mtu anawekwa kwenye  nafasi ambazo hakustahili kuwepo” – Afande Sele



Source;Millard ayo

MATONYA AFUNGUKA KUHUSU MAENDELEO YAKE KUHUSISHWA NA NDUMBA.


Kwa yeyote anaefatilia bongofleva toka kitambo kidogo najua jina la Matonya lazima litakua kwenye list ya familia ya wanabongofleva.
Ni jina ambalo limekua kwenye vichwa vya vizito vya habari mara kadhaa kutokana na stori kama ya kukamatwa na dawa za kulevya Chinapamoja na stori nyingine.
Stori ya mwisho mimi kuisikia na nikawa na hamu ya kuifahamu ni kuhusu taarifa kwamba msanii huyu mzaliwa wa Tanga  amekwama kwenye ishu zake za maendeleo kwa sababu kuna watu wanamloga asifanikiwe tena ikiwemo kukwamisha uzinduzi wa hoteli yake aliyoijenga Tanga ambayo ilitakiwa kufunguliwa toka miezi sita iliyopita.
Namkariri akisema “nilikua na harakati hizo za kufungua hoteli lakini majukumu yalinizidi nguvu kidogo lakini taratibu yangu iko palepale japo ile time niliyotarajia haikufanikiwa lakini bado nina mpango huo japo sitotaja siku, kuhusu ushirikina hiyo inasemekana lakini siwezi kusema ni kweli au sio kweli kwa sababu hayo ni mazingira ambayo yametuzunguka, mazingira yetu sisi waswahili”

Source;Millard Ayo

Tuesday, October 2, 2012

SERIKALI YA KENYA KUKAMATA SIMU ZA KICHINA MIKONONI MWA WATU.

Mtangazaji wa Citizen Tv/Radio William Tuva ameripoti kwamba wakenya walionunua simu feki wapo kwenye wakati mgumu na itawabidi wanunue simu original kwa sasa ili kurudi tena kwenye mawasiliano.
Ameripoti pia kwamba inasemekana katika mtandao wa simu za mkononi wa Safaricom peke yake ni wateja laki sita ambao wameripotiwa simu zao kuzimwa kwa sababu ni feki.
Kwenye line nyingine Tuva ameripoti pia kwamba Kenya imepoteza mabilioni ya shilingi kutokana na simu feki ambazo zimekua zikiingia sokoni kwa njia ambayo sio halali.
Baadhi ya wananchi ambao simu zao zimefungwa wamekaririwa wakisema waliamka asubuhi na kukuta simu zao hazifanyi kazi, kumbe tayari zimeshazimwa kiteknolojia na tume ya mawasiliano nchini humo ambapo kwa mujibu wa BBC n wateja milioni mbili na nusu ambao simu zao zimezimwa.

Wednesday, September 12, 2012

KALAPINA AFUNGUKA KWAMBA PROF.JAY ANAPOTEA KWENYE RAMANI YA MUZIKI.

Msanii wa hiphop Kalapina wa kikosi cha Mizinga amekubali kutaja majina ya wasanii wa hiphop anaosikiliza muziki wao kwa sasa hapa Tanzania.

Namkariri akisema “Tanzania mimi nasikiliza wasanii wote niangalie vitu wanavyovifanya lakini wasanii wengi hawako real wanafake, sasa hivi nimekua nikiwasikiliza wadogo zangu Lunduno, Nash Mc, Fid Q, Mansu Lee, Rado… mzee mwenzangu Profesa J amepotea sasa hivi, nilikua namsikiliza lakini sasa hivi amepotea”



“Profesa J amefikia hatua anafanya video za dada zetu wako uchi kabisa na ule ni udhalilishaji wa kijinsia kama atabisha si udhalilishaji, achukue video awachukue dada zake na mama zake wadogo awavalishe vichupi na sidiria tutaona kweli yeye ni mmagharibi lakini kama anachukua dada za watu huu ni udhalilishaji wa kijinsia mi napinga mambo kama yale, tusifikie huko sasa hivi huwezi kufanya video kali mpaka uweke wanawake wako uchi Tanzania” – Kalapina

Source;Millard Ayo

UNAMJUA R.O.M.A??HUYU HAPA.

Anaitwa Ibrahimu mwenyeji wa Tanga aliekulia Dar,

ROMA ni kifupi cha Rhymes Of Magic Attraction
Yeye ni mtoto wa mwisho(kitinda mimba) kutoka katika familia ya watoto 5.

Kwa imani,Yes ni kweli kwamba yeye ni mkristo wa madhehebu ya Roman Catholic
Hivi sasa yeye ndio anashikilia tuzo ya Kilimanjaro ya  msanii bora wa Hip Hop nchini Tanzania.

sOURCE; BongoCelebrity

KILICHOFIKIWA NA WAANDISHI BAADA YA MAANDAMANO.

Jukwaa la Wahariri Tanzania pamoja na waandishi wa habari waliungana na kufanya maandamano kuanzia mkao makuu ya kituo cha Television cha Channel Ten mpaka kwenye viwanja vya Jangwani Dar es salaam september 11 kupinga mauaji ya mwandishi wa habari Daudi Mwangosi alieuwawa kwa kulipukiwa na bomu akiwa mikononi mwa polisi Iringa wakati polisi walipokua wakiwatawanya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mjumbe wa jukwaa la wahariri kutoka Zanzibar Masoud Sanani kwenye maandamano hayo Jangwani  alitangaza maazimio yaliyofikiwa na washiriki wa maandamano hayo, namkariri akisema “kwa siku 40 hizi za maombolezo tusiandike habari ya polisi, polisi hata akifanya kitu gani tusiandike, wataandika kwenye gazeti lao la polisi wanalo”


sOURCE;Millard Ayo

VODACOM YADHAMINI LIGI KUU KWA MIAKA 3.

Vodacom na TFF zasaini mkataba wa udhamini wa ligi kuu kwa miaka mitatu
Klabu ya Simba Sports Club ndio bingwa mtetezi.

Msimu wa ligi kuanza Septemba 15, na kushirikisha timu 14.

Polisi Morogoro, Tanzania Prisons na Mgambo JKT ni timu mpya katika ligi.


Dar es Salaam, 11 Septemba 2012. Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) leo limeingia katika mkataba wa udhamini kutoka kwa kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wakati maandalizi ya ligi kuu ya Vodacom Tanzania yakielekea ukingoni.


Kampuni ya Vodacom imekuwa mdhamini wa ligi kuu kwa miaka mitano iliyopita, na sasa imeingia mkataba mpya wa udhamini kwa miaka mitatu na TFF, mkataba utakao liwezesha shirikisho hilo kupoea fedha za udhamini kwa miaka mitatu.


Ligi kuu ya Vodacom itaanza tarehe 15 ya mwezi huu, ikitarajia kushuhudia michezo 182 ikichezwa katika viwanja mbalimbali na kushirikisha timu 14, zikiwemo timu za Dar es Salaam Young Africans, Kagera Sugar na Simba Sports Club ambaye ndie bingwa mtetetzi wa kombe hilo. 


source;Mateja20 

Tuesday, September 11, 2012

STEVE WA RnB AREJEA BONGO TOKA ULAYA ALIKOKAA KWA MIEZI 6.


MSANII Steve R&B ambaye alitamba na ngoma kibao ikiwemo ‘One Love’, aliyomshirikisha Baby Boy, sasa amefunguka na kuzungumza na blog hii, kuwa kitu kilichomfanya kuwa kimya ni kutokana na safari ndefu aliyokuwa nayo ya kimuziki nchi za Ulaya iliyodumu kwa takribani miezi sita.


Steve
alisema kuwa katika safari hiyo alifanya show katika nchi nyingi kama Germany, Italy, Australia na Swaziland, ambako kote alifanya makamuzi ya hatari kwa ajili ya katangaza jina lake pamoja na taifa lake kwa ujumla.


Hata hivyo alisema kuwa anaamini mashabiki wake watakuwa wamemisi vitu vyake, na katika hilo anadai kuwa sasa amekuja na staili mpya ujio kwa ajili ya kuonesha kile alikifanya nje kwa miezi hiyo sita.


Aliongeza kuwa baada ya kurudi kuna ngoma ambayo ameshaifanya na inakaribia kwenda sokoni ambayo inakwenda kwa jina la
‘Radio’ ambayo ndani yake anapatikana Ommy Dimpoz.

“Mashabiki wangu wanaweza kusema nilikuwa kimya sana, kama unavyojua kila mtu anazungumza analojua, lakini ukweli ni kwamba nilikuwa kimya kwa sababu nilikuwa Ulaya ambapo nilienda kwa ajili ya show,”
alisema.

Source;DarTalk

BENJAMINI WA MAMBO JAMBO KURELEASE NGOMA MPYA BY THE NAME OF SKENDO.

MSANII anayepagawisha mashabiki wengi kutokana na sauti yake ‘Benjamini wa Mambo Jambo’, ameiambia blog hii, kuwa anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Skendo’, ambayo itazungumzia namna watu wanavyitengenezea skendo kwa lengo la kujipatia umaarufu usiyo na maana.

Alisema kuwa ngoma hiyo inakuja hivi soon na ipo katika mtiririko mzuri wa mashairi pamoja na ujumbe wake, kitu ambacho kinaashiria kuwa itafanya vizuri kwani kwa upande wake si msanii ambaye anatoa ngoma kila baada ya wiki mbili.


Msanii huyo aliwahi kutamba sana na ngoma ya yake ya 
‘My Friend’, ambayo inazungumzia mambo mengi ya maisha na njisi ndugu yako anavyoweza kukumaliza kwa ajili ya pesa au kutaka kuwa juu ya yako.


“Mimi si msanii ambaye anatoa ngoma kila baada ya wiki kwani najua kusoma alama za nyakati hivyo napokuwa kimya huwa natafakari ni namna gani naweza kutoa kitu kizuri kwa ajili ya mashabiki wangu,”
alisema.

Hata hivyo sasa msanii huyo ana kampuni yake ya kutengeneza video inayoitwa
Promo Only ambapo pia matarajiao yake ni kuwa na kampuni kubwa zaidi ya atakayoipa jina la B.M.L, ambayo itahusika zaidi na video pamoja na audio.



Source;DarTalk