ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Sunday, April 28, 2013

MREMBO WA KIBONGO!

 
Unazijua cfa za mrembo wa mjini? 
1.Anatakiwa ajue ku-drive hata kama hana gari 
2.Awe na elimu ya chuo hata kama ni level ya certificate 
3.Awe anajua kuongea english hata kama ni code-switching  
4.Awe anajua kupangilia nguo na via2 hata kama ni za bei rahis na ajue kujipamba 
5.Asijipendekeze kwa mwanaum >:/ hata km anavutia waje wnyw.
6.Ajue kujishugulisha hata kama hana kinachomshugulisha  
7.Ajue hbr za nje na ndani hata kama hazimuhusu
 

No comments:

Post a Comment