ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, April 17, 2013

BREAKING NEEEEWZZZZ!!!!! BI KIDUDE HATUKO NAE TENA DUNIANI.

MSANII WA MUZIKI WA TAARABU NCHINI TANZANIA KUTOKA VISIWANI ZANZIBAR FATUMA BINT BARAKA MAARUFU KAMA BIBI KIDUDE AMEFARIKI DUNIA LEO HUKO VISIWANI ZANZIBAR. NA KWA KUMKUMBUKA TU AMESHA WAHI KUFANYA KAZI NYINGI IKIWEMO MHONGO WA JANG'OMBE, KIJITI, ALAMINADURA, YA LAITI, AHMADA NA NYINGINE NYINGI.





MUNGU NA AMPUMZISHE MAHALA PEMA PEPONI AMINA.
NA KWA HABARI ZAIDI FUATILIA VYOMBO VYA HABARI.

No comments:

Post a Comment