ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, April 3, 2013

BIFU LA SINTAH NA RAYUU LAZIDI KUKOLEA.





Katika kile kinachoonekana kuwa ni mwendelezo wa ugomvi wa Sintah na Rayuu, wasanii hawa wameendelea kurushiana matusi ya nguoni na kuumbuana kila siku...... 


Sintah aliwahi mtuhumu Rayuu kuwa ni kahaba mwenye kiwango na aliyeshindikana.Tuhuma hizo zilikuja baada ya picha za uchi za msanii Rayuu kuvuja mtandaoni zikionesha makalio na matiti yake.

 Baada ya tuhumu hizo, Rayuu naye ameendelea kufichua mambo mengi kuhusiana na Sintah kwa kudai kuwa Sintah ni kahaba na haoni aibu maana umri wake umeenda....
   
 
Rayuu anadai kuwa ukahaba ulimfanya Sintah aachwe na Juma Nature.Msanii huyu ameenda mbali zaidi baada ya kudai kuwa amewahi muona Sintah kwa macho yake akijiuza maeneo ya Manzese.

No comments:

Post a Comment