ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, April 3, 2013

LADY JAYDEE AZIDI KUWASHA MOTO NA CLOUDS FM LINNAH NA BEN POL NDANI.

Kama siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu ambayo inamilikiwa na Jide.
Ben Pol nae akajibu

No comments:

Post a Comment