ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Monday, March 25, 2013

KUMBE CHID BADO HAJAKUA.

Rapper Chidi Benz, amempiga CowBama a,k,a
Ngwea nje ya Ambassador Lounge ikiyoko
Mkapatower, posta, usiku wa kuamkia leo.ugomvi
huo ulitokea baada ya Chidi kumzingua Dully
alipokua akiingia, ambapo mwisho wake aliamua
kuondoka.

Baada ya Dully kuondoka, Ngwea aliamua
kumuuliza Chidi (ambae mara nyingi huitana Dogo
lao), inakuaje unamzingua kubwa lao, ndipo Chidi
alipopaniki na kuanza kutoa lugha chafu huku
akitaka kutokumsikiliza Ngwea, inasemekana
Ngwea aliamua kukaakimya lakini Chidi aliendelea
kungea kwa hasaira na kusema"ndio nimemzingua
kwani yeye nani" na kumbadilikia Ngwea ambae
pia aliamua kuachana nae na kurudi ndani kwenye
meza aliyokua amekaa na washkaji zake,
haikuishia hapo Chidi amkamfata kwenye meza
hiyo na kuanza kumuongelea mbaya Ngwea, na
ndipo Ngwea akaamua kushuka chini ya jengo kwa
nia ya kuondoka.

akiwa huko huko chini Chidi alimfata na kumpiga,
ikiwa ni pamoja na kumkata na chupa mkononi,na
kupelekwa hospitali ambapo alitibiwa.
nimeongea na Ngwea ambae anasema haoni
chochote kilichomfanya kupigwa na msanii huyo.
Ngwea kwa sasa yupo katika kituo cha polisi
Oystabay kwa ajili ya kumfungua mashtaka, licha
ya kuumizwa pia ni kutokana na vitisho
alivyopewa na Benzi.
Sio mara ya kwanza kwa Chidi kupiga wasanii
wenzake..

No comments:

Post a Comment