ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Monday, March 18, 2013

USIISHI KWA HISTORIA.

 Utamuacha wanamke fulani kwa kashfa zote na kejeli za kila namna kwamba hafai
na haoleki ILA Mwanaume yule atamchukua na kudate 
nae na pengine atamuoa na wataishi
kwa furaha na kuzaa watoto,
atasahau  hata kama
 uliwahi kuwa Boy wake na kashfa
 zako
Kapata Perfect Match yake....Mwanamke fulani
ataachwa na wewe utakutana nae
na kumpokea,na pengine utamuoa na kuishi kwa amani.
Umepata Perfect match yako..
Hii inaitwa Love Circle...
 
Hakuna Mwanaume wala Mwanamke 2nd hand/Used 
kwamba hafai...
Kama hafai kwako kuna 
mtu kwake huyo mdada ni 
Malkia...
Kama hafai kwako,kuna
 mdada 
anamtamani amfanye awe 
mfalme wake..
Binadamu hana Mshale wa 
kuonyesha Kilomita ngapi 
katembea au ana listi ya watu 
mia
ngapi!
Kuna watu wametumika kwelikweli,wameshusha
 engine mara6 na kumwaga oil nyeusi
ila wameolewa na kutulizwa ndani..
Wewe unayejiona mpya mpya unanukia Nylon bado
unamanga manga...Haijalishi ww ni Mpya au Used,
when ur perfect match arrives,
everything else about Past 
will be history!

No comments:

Post a Comment