ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, March 14, 2013

SHOMBE SHOMBE BOB JUNIOR AKUBALIKA VIBAYA NA WAZUNGU NA KUPATA SHOW ZAIDI

Baada ya kupiga shows katika nchi kadhaa Europe kama Holland, Norway and now yupo Germany, Tanzanian Bongofleva singer Bob Junior ambaye anatamba na nyimbo kibao amepata mchongo mwingine wa kupiga show nchini Denmark ili kuwapa burudani mashabiki wake wa huko. 



Akichonga  kutoka pande za mamtoni Bob junior alikiri kuwa na show nchini humo tarehe 29 mwezi huu "yah nipo na show denmark tru dat 29 march". pia chanzo kimoja kutoka Denmark kimekiri Bob Junior kuwa na show hiyo.

No comments:

Post a Comment