ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Sunday, March 24, 2013

LIL WAYNE SASA HIVI YUKO FIT.

Rapper Lil Wyne ambae ameingia kwenye headlines wiki hii kutokana na taarifa za kuzidiwa kwake na kulazwa hospitali ikidaiwa anaugua degedege, amejitokeza kwa mara ya kwanza kwenye video akiongea kuhusu tour yake na T.I ambapo kabla ya kuanza kuizungumzia aliwashukuru fans wake kwa maombi wakati akiwa hospitali.

No comments:

Post a Comment