ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Sunday, March 24, 2013

MASHABIKI WA SIMBA WAZICHAPA WAKATI WA MAPOKEZI YA RAGE



Mashabiki hao wa Simba walizichapa baada ya kugundua baadhi yao walikwenda uwanjani kwa lengo la kumfanyia vurugu mwenyekiti wao wakati wa mapokezi, kabla ya mashabiki kutwangana, mashabiki waliokuwa wakimuunga mkono mwenyekiti wao walikuwa wakiimba nyimbo mbalimbali na walionekana wenye matumaini makubwa na Rage huku wakisisitiza bado wanautambua uongozi wake na hakuna anayeweza kumuondoa zaidi yao wenyewe.
 

Hata hivyo, baadaye lilitokea kundi dogo la mashabiki wa Simba ambalo lilisadikiwa kuwa ni kundi la Mpira Pesa ambalo limekwenda uwanjani hapo kwa ajili ya kufanya fujo na hivyo kuanza kushambuliwa kwa makonde wakidaiwa kuhusika na mkutano uliotangaza kumwondoa Rage madarakani.


No comments:

Post a Comment