ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Tuesday, March 19, 2013

TIGER WOODS AVUTA MANZI MPYA.

Kibongobongo way back walikwishawahi kusema mapenzi ni kikohozi, na haiwezekani kuyaficha na leo hili limethibitika baada ya Golfer wa dunia, Tiger Woods kuamua kukiri kuwa katika mahusiano na bibie Lindsey Vonn ambaye naye pia ni mwanamichezo.


Tiger ameamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi lakini ameomba baada ya watu kufahamu kuwaacha wafanye yao na kuheshimu privacy yao





No comments:

Post a Comment