ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, August 30, 2012

ALI KIBA NA DIAMOND PLATNUMZ NANI MKALI NA KIOO CHA JAMII.


Swali kwenye kichwa cha habari linajieleza. Nani zaidi kati ya Ali Kiba na Diamond? Tunaposema zaidi tuangalie mambo kadhaa; muziki,uimbaji,umiliki wa jukwaa,management (kwa maana jinsi msanii anavyojiongoza au kuongozwa na yeyote aliye nyuma yake), mafanikio ndani na nje ya nchi, likability yaani jinsi anavyokubalika au hata kujikubali yeye mwenyewe.Hapo tunaweza kuongeza muonekano…msanii hana budi kujiweka vizuri..ni kioo

No comments:

Post a Comment