ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, August 15, 2012

WENJE AFUNGUKA MAGUMASHU ELIMU YA BONGO.



Mbunge wa Nyamagana Mwanza kwa ruhusa ya Chadema na wananchi wa jimbo lake Ezekiah Wenje amewataka wabunge wa bunge la Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kuacha unafiki na badala yake waitishe mjadala wa kitaifa kuhusu lugha maalum ya kufundishia kwa shule za msingi.
Namkariri akisema “lugha kwenye primary school ni Kiingereza au kiswahili? mimi nawachallenge acheni unafiki, kama ni Kiswahili iwe Kiswahili kwenye primary School kama ni Kiingereza basi na hizo shule za Serikali zifundishe kiingereza ili wanafunzi wapate hiyo Knowledge ya kiingereza, wanafunzi wa watu masikini pia wapate kama watoto wenu wanavyopata”
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya Elimu, Wenje amesema wakati wabunge wakipigia debe matumizi ya kiswahili wenyewe pia wamekua wakisomesha watoto wao kwenye shule zinazotumia lugha ya kiingereza
.

source:Millard Ayo

No comments:

Post a Comment