ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Tuesday, August 14, 2012

BIASHARA INAYODHARAULIKA TANZANIA YENYE KIPATO KIKUBWA SANA.


 Utengenezaji wa katuni ama kwa kiswahili VIKARAGOSI ni moja kati ya biashara ambazo zina vipato vikubwa sana ingawaje muamko wake kwa nchi maskini kama Tanzania bado uko chini sana.
Hilo linaweza kujidhihirisha kwa swali moja dogo sana ambalo ni nani kati yetu ambae hajawahi kuiona katuni ya KIRIKOU?! jibu liko wazi kabisa kwamba hakuna ambae hajawahi kuiona sasa jiulize ni shillingi ngapi alipata muandaaji wa katuni hio ukiondoa PIRACY yaani unyonyaji usio halali??

No comments:

Post a Comment