ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Saturday, August 18, 2012

WEMA AHUSIKA BIFU LA BOB JUNIOUR NA DIAMOND PLATNUMZ.

Ikiwa ni siku chache tu toka diamond abadilishe jina kuepuka makuu na Bob junior bado choko choko za vijana hawa zinazidi kupamba moto. jioni ya jana habari zilizopatikana ni kwamba Bob junior ametangaza kuwa Diamond ameshuka kimuziki hivyo ameamua kutembea na Wema sepetu ili kurudisha jina lake.. baya zaidi amesema kuwa huyo Wema sepetu ni malaya tu so Diamond hajapata lolote... Kisanga kikazidi zaidi baada ya Wema sepetu kujibu shutuma za Bob junior katika kipindi cha movie leo kinachorushwa cloudfm kila asubuhi, Wema anasema" kwanza who is sharobaro??? kwanza hata mazoea naye sina.. why bifu zake za kuime na Diamond aniingize na mimi msichana? au ana wivu na mimi alikuwa anamtaka yeye diamond??

Source;Martin Kadinda

No comments:

Post a Comment