Ikiwa ni siku chache tu toka diamond abadilishe jina kuepuka makuu na
Bob junior bado choko choko za vijana hawa zinazidi kupamba moto. jioni
ya jana habari zilizopatikana ni kwamba Bob junior ametangaza kuwa
Diamond ameshuka kimuziki hivyo ameamua kutembea na Wema sepetu ili
kurudisha jina lake.. baya zaidi amesema kuwa huyo Wema sepetu ni malaya
tu so Diamond hajapata lolote... Kisanga kikazidi zaidi baada ya Wema
sepetu kujibu shutuma za Bob junior katika kipindi cha movie leo
kinachorushwa cloudfm kila asubuhi, Wema anasema" kwanza who is
sharobaro??? kwanza hata mazoea naye sina.. why bifu zake za kuime na
Diamond aniingize na mimi msichana? au ana wivu na mimi alikuwa anamtaka
yeye diamond??
Source;Martin Kadinda
No comments:
Post a Comment