ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, January 17, 2013

WASANII KURUDI SHULE MUHIMU KAMA DULLAYO.

Msanii DULLAYO ambaye jana ameachia single mpya  inayoitwa bongo-movie amesema kuwa anatarajia kurudi  shule  kutokana na kuwa na mawazo ya kutaka kuufikisha muziki wake kimataifa,



Pia amesema kutokana na kuhitaji kuwa makini zaidi katika  masomo yake tayari ameshaanza  maandalizi ya  kutafuta  shule  nje ya  nchi  na nchi aliyoipendekeza  ni nchi ya  MALAWI.

No comments:

Post a Comment