ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Tuesday, January 1, 2013

KIM NA KIBAND CHA KANYE

Rapper Kanye West jana jumapili amethibitisha kwamba mpenzi wake girlfriend wake ambae ni Tv Star Kim Kardashian ni mjamzito.

Alipokua kwenye stage, Kanye aliiambia timu yake isimamishe kupiga mziki ambapo baada ya hapo akasema make some noise kwa my baby mama.





Uthibitisho wa ukweli wa hizo taarifa uliendelea kupatikana baada ya mama mzazi wa Kim Kardashian, dada zake na mdogo wake wa kiume kutumia page zao za twitter kuonyesha furaha zao kuhusu ujauzito wa Kim Kardashian.

sOurce;Millard Ayo

No comments:

Post a Comment