ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Tuesday, January 1, 2013

R.I.P SAJUKI,MAY HIS SOUL REST IN PEACE!AMEN.






Msanii Juma Kilowoko
(SAJUKI)amefariki dunia leo alfajiri katika
hospitali ya Taifa Muhimbili.

Kwa mujibu wa
Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya
Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa
anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu


source: ITV facebook page

No comments:

Post a Comment