ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, January 17, 2013

UKIMYA TENA BAAAAASI!!!

Msanii  wa muziki  wa  siku nyingi Joseph Rushahu ‘Bwana Misosi ameitaja sababu ambayo ilimuweka kwa muda  bila kufanya ngoma yeyote amefunguka kuhusu kazi nyingine anayoifanya akiwa nje ya  muziki .



misosi amesema muda mwingi anapokuwa kimya anakuwa  anafanya  kazi nyinge  ambayo amesomea ya ufundi wa umeme.

Pia misosi amesema hatokaa kimya tena kutokana na  muziki kumuweka  sehemu nzuri ikiwa ni pamoja na kumpa heshima.

No comments:

Post a Comment