ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, January 3, 2013

SHAKIRA APATA MTOTO WA KIUME.

Mwanamziki anayesifika dunia kwa kutumia kiuno chake Shakira amefanikiwa kupata mtoto wa kiume usiku wa kuamkia leo...

 Mzazi mwenzie akiwa ndio mtu wa kwanza kuanika habari hizi alitumia account yake ya twitter kuandika "mtoto wetu wa kiume amefanikiwa kuzaliwa... Asanteni kwa pongezi...." 

I just wanna congratulate them and wish all the best in their new life kama baba na mama wa mtoto huyu ambae mpaka naandika post hii hatujapata jina lake.






source:Kadinda

No comments:

Post a Comment