ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, January 17, 2013

BINTI!!!!CHEZA NA KILA KITU LAKINI SI MWANAUME.






BEFORE SEX*
 
1ST SCENE
JAMAA:"Mbona unajikuna sana kichwani swty?"
DEM:"Beib nywele zinaniwasha kweli."
JAMAA:"Itabidi uende salon(huku anatoa wallet
 mfukoni)
 
2ND SCENE
JAMAA:"Swity njoo home...nakungoj­a."
DEM:"Acha nichukue bus nakuja."
JAMAA:"Aaa chukua taxi,bus utachelewa."
DEM:"But beib..."
JAMAA:"But ya nini mrembo...we chukua taxi mi nitalipa."
DEM:"Ok beib am on ma way."

 
3RD SCENE
JAMAA:"Hi ma love morning,how was ur nyt?"
DEM:"Morning 2 u darling..it was gr8"
 
4TH SCENE
JAMAA:"Mbona kimya hun hata sms sioni?"
DEM:"Sina airtime."
JAMAA:"Acha nikimbie dukani nakusambazia credit sasa hivi hun."
DEM"Sawah beib am waiting."

 
5TH SCENE
DEM:"Beib am going out 2nyt."
JAMAA:"Aaah usiende bana hao marafiki zako 
wa kike siwaamini,watak­­ utafutia msela 
mwengine."
DEM:"Dont worry swty i only love u..mwaah "
 
*AFTER SEX*
 
1ST SCENE
JAMAA:"Acha kujikuna kichwa nawe."
DEM:"Jamani beib nywele zinaniwasha."
JAMAA:"Unataraj­­ia nini kama huzisafishi lazima ziwashe."
DEM:"Eeh jamani ishakuwa hivyo hun."
JAMAA:"Si unyoe tu nikupe 20 uende kunyoa?"
 
2ND SCENE
DEM:"Swty uko home nije?"
JAMAA:"Yep panda bus hapo uje..fanya haraka coz nataka kutoka."
DEM:"Lo! haya ma dear nakuja."
 
3RD SCENE
DEM:"U ok beib,yaani toka asubuhi hujanitext."
JAMAA:"Pole nilikuwa busy sana..sina tym ya kutext ovyo ovyo."
 
4TH SCENE
DEM:"Nitumie credit tuchat."
JAMAA:"kwani okoa jahazi ni ya kazi gani,ambia safaricom watakupa."
DEM:"Tobaa...po­­a tu."
 
5TH SCENEDEM:"Beib am going out."
JAMAA:"Najua waenda kutafuta mwengine...nend­­a na usinipigie tena!!"

No comments:

Post a Comment