ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Tuesday, January 22, 2013

VIMEO MWANZO MWISHO.

1)Umeajiriwa kazi na
kutimuliwa baada ya siku 30 bila malipo, ujuwe una mkosi

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
(2)Una-download­ kitu
kinafika 99% 
kina-fail, ujuwe una mkosi

 
(3)Umenunua simu leo laki 3,kesho
inaporomoka bei mpaka laki moja na nusu, ujuwe una mkosi

 
(4)Umetumia pafyumu kali lakini bado kikwapa kinatema, ujuwe una mkosi

 
(5)Gari lako linakaa muda mwingi kwa fundi kuliko
barabarani, ujuwe una mkosi

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
(6)Umesajiliwa kama
beki katika timu
fulani,mtihani wako wa kwanza ni kumkaba messi, ujuwe una mkosi





 
Panya katafuna cheti chako cha chuo sehemu ya jina lako tu!, ujue una mkosi
 
 
Unakunjia sura post za watu wakati zako wanazitemea mate:p , ujuwe una mkosi
 
Umetoka kuamka unajikwaa kidole cha mwisho kwa nguvu zote:& , ujuwe una mkosi
 
Unanichukia wewe mbulula wakati mama alonizaa ananipenda<3 , ujuwe una mkosi

No comments:

Post a Comment