ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Tuesday, January 22, 2013

LOVE SUCKS!!

Wakati mwingine Relationship zetu ni kama 
Glasi ya bei mbaya sana,
iliyoanguka kutoka ghorofani,
unaipenda sana maana
 umekuwa ukiitunza kwa 
uangalifu,




na uliinunua kwa gharama..
 Lakini...Glasi hii imeanguka na imesagika vipande,
kujaribu kuviokota vipande hivi unajikuta unakatwa na vipande vya hiyo glasi,
mwili mzima unachuruzika damu kwa Maumivu...

 
Sometimes,
inapaswa tu ukubaliane na matokeo kwamba Glasi hiyo haiwezi kutumika tena
 zaidi ya kukukata tu... 
 
 
Some of our Broken hearts will never mend.... 
Take care na Glass yako huyo Boy au Girl wako.
 

No comments:

Post a Comment