Swali kwenye kichwa cha habari linajieleza. Nani zaidi kati ya Ali
Kiba na Diamond? Tunaposema zaidi tuangalie mambo kadhaa;
muziki,uimbaji,umiliki wa jukwaa,management (kwa maana jinsi msanii
anavyojiongoza au kuongozwa na yeyote aliye nyuma yake), mafanikio ndani
na nje ya nchi, likability yaani jinsi anavyokubalika au hata
kujikubali yeye mwenyewe.Hapo tunaweza kuongeza muonekano…msanii hana
budi kujiweka vizuri..ni kioo
Pages
Search This Blog
ushauri
Fay Pub

Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453
tangaza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment