Pages
Search This Blog
ushauri
Fay Pub

Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453
tangaza
Tuesday, August 14, 2012
CHADEMA KUWASHA MOTO RUAHA KILOMBERO LEO
Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo hii tarehe 14 August wanatarajia kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya manyasini ambapo Dk.Wilbrod Slaa anatarajiwa kuwahutubia wananchi ikiwa ni pamoja na kupokea wanachama wapya,pia ikiwa ni moja na mikutano ya vugu vugu la mabadiliko yaani M4C ikiwa na kauli mbiu ya VUA GAMBA NA VAA GWANDA>
TUJIKUMBUSHE:
Mapema mwezi wa tano mwaka huu zilizuka vurugu katika uchaguzi mdogo wa kijiji ambao uliwahusisha wanachama wa CCM na CHADEMA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment