ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Saturday, September 21, 2013

EMINEM KUPAKUA ALBUM MPYA SOON.

Rapper Eminem ameanza kurekodi cd yake mpya ya `The Marshall Mathers LP 2" itakayo toka November 5, 2013. Kupitia Beats By Dre tangazo lilitolewa kuwa Eminem sasa yupo kwenye kazi ya kukamilisha project hio na itakuwa mwendelezo wa MMLP1 Iliyotoka mwaka 2000.

Kazi ya Production ya nyimbo kwenye album hii itasimamiwa na mkongwe aliyeboresha record lebel kama Aftermath Entertainment ya Dr. Dre na Def Jam `Producer Rick Rubin'
Hii ni album ya saba ya Eminem kutengenezwa na Dr Dre na imetangazwa na kufanyiwa promotion kwa miaka mitatu sasa. Napenda kukujulisha kuwa Wimbo wa kwanza kutoka "Berzerk" upo kwenye Eminem.com unaweza Kusikiliza hapo.

No comments:

Post a Comment