ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Saturday, September 21, 2013

DRAKE AJITAPA KUWA HAJALOOSE MAUZO.

Rapper wa Young Money Drake kutoka Canada amesema pamoja na album yake ya tato kuvuja hajawahi kuwa na mategemea ya mauzo kwenye album hii kama rappers wengine wanavyo kuwa wakitegemea kuuza copi milioni 1 ndani ya mwezi au wiki kwenye mauzo. Drake amesema kutokuwa na mategemeo kutamunguzia kujiskia vibaya kama atauza chini ya kawaida yake.
Drake amesema kazi ya album hii ni Kazi Ya Mapenzi Yake Kwa Muziki Na Mashabiki na anataka idumu kwenye masikio ya watu kwa muda mrefu, ni album ya kudumu na imefanyiwa kazi kwa muda wa mwaka moja na nusu alifunguka Drake.
 

No comments:

Post a Comment