ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Monday, October 29, 2012

COVER YA NGOMA MPYA YA DIAMOND PLATINUMZ HII HAPA!!!

Kama ulikua bado hujaiona cover ya ngoma mpya ya diamond platinumz NATAKA KULEWA mzigo huu hapa kwa mtazamo wangu imekaa fresh though mchizi asivimbe saana kichwa!!
 Hizi nyingine ni za zamani ingawaje kwa mtazamo wangu zimekaa poa pia keep it up kijana na endelea kukza hivo hivo tho kuvua nguo jukwaani sio ishu wala nini huo ni UBWABWA



CONGRATS BRO!


Cover photo source;Millard Ayo

No comments:

Post a Comment