ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Wednesday, February 27, 2013

WIZ KHALIFA BABA.....DUH!!!!

Amber Rose na mchumba wake Wiz Khalifa sasa ni wazazi wanaojivunia
kwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume.Sebastian Taylor Thomaz (yes, ikiwa na a z mwisho) amezaliwa siku ya Alhamis mchana Mapema siku hiyo a proud papa Wiz Khalifa  posted a picture wearing scrubs na face mask na maelezo yaliyokuwa yakisema "daddy time" meaning wakati wa baba. 

Mida ya saa nane mchana akipost, "Happy Birthday Sebastian "The Bash" Taylor Thomaz!!!
Everyone welcome this perfect young man into the world"mara ya mwisho wawili hao. Amber na Wiz, walionekana katika tuzo za grammy.

No comments:

Post a Comment