ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, May 9, 2013

Prezzo IN dSM

Mshindi namba mbili wa BBA 2012 CMB Prezzo ameanza kupata nguvu ya kuendelea na kazi yake kubwa ya siku zote ambayo ni muziki.
May 4, 2013 Prezzo amekubali na kutekeleza mwaliko wa ku cheza kwenye Pool Party Dar es Salaam Tanzania akiambatana na wasanii wengine kama Avril na Kelmah kutoka Kenya, pamoja na Mwana FA kutoka Tanzania.



Bado haijatimia miezi mitatu toka Mnigeria Goldie ambae alikua mpenzi wa Prezzo afariki dunia ambapo kwenye Exclusive interview, Prezzo alisema machungu aliyonayo bado hayampi nafasi ajisikie kuwa karibu na mwanamke yeyote kimapenzi.
 

No comments:

Post a Comment