ushauri

Fay Pub

Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453

tangaza

Thursday, May 2, 2013

LIL WAYNE HOI TENA.

 Lil Wayne ni moja ya watu ambao kwa sasa afya zao zinatajwa kuwa katika hatihati hasa baada ya rapa huyu kuzimia kwa mara nyingine siku ya juzi na kupelekwa hospitali ambapo alitoka jana na michongo hii yote ikiwa inafanyika kwa siri kubwa.


Mapema mwezi March Lil Wayne alikiri hadharani kuwa ana ugonjwa wa kifafa kwahiyo kudondoka dondoka kwake ni kitu cha kawaida, na hii ni nukuu ya maneno yake mwenyewe hasa baada ya tukio la mara ya mwisho la kulazwa hospitali kwa wiki nzima akiwa katika wodi ya wagonjwa mahututi.




"The thing is, man, the bad news is, I'm an epileptic, so I'm prone to seizures," he said. "This isn't my first, second, third, fourth, fifth, sixth, seventh seizure. I've had a bunch of seizures; y'all just never hear about it. This time it got real bad because I got three of 'em in a row, and on the third one, my heart rate went down to, like, 30 percent. Basically, I could've died soon. That's why it was so serious. The reason being for the seizures is just plain stress, no rest and overworking myself. That's typical me, though."

Hadi sasa hakuna mtu yoyote kutoka katika timu ya rapa huyu ambaye ameibuka kuzungumzia chochote kutokana na tukio hili.

No comments:

Post a Comment