Tiger ameamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi lakini ameomba baada ya watu kufahamu kuwaacha wafanye yao na kuheshimu privacy yao.
Pages
Search This Blog
ushauri
Fay Pub

Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453
tangaza
Tuesday, March 19, 2013
TIGER WOODS AVUTA MANZI MPYA.
Kibongobongo way back walikwishawahi kusema mapenzi ni kikohozi, na
haiwezekani kuyaficha na leo hili limethibitika baada ya Golfer wa
dunia, Tiger Woods kuamua kukiri kuwa katika mahusiano na bibie Lindsey
Vonn ambaye naye pia ni mwanamichezo.
Tiger ameamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi lakini ameomba baada ya watu kufahamu kuwaacha wafanye yao na kuheshimu privacy yao.
Tiger ameamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi lakini ameomba baada ya watu kufahamu kuwaacha wafanye yao na kuheshimu privacy yao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment