Pages
Search This Blog
ushauri
Fay Pub
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453
tangaza
Sunday, March 17, 2013
Thursday, March 14, 2013
SHOMBE SHOMBE BOB JUNIOR AKUBALIKA VIBAYA NA WAZUNGU NA KUPATA SHOW ZAIDI
Baada ya
kupiga shows katika nchi kadhaa Europe kama Holland, Norway and now
yupo Germany, Tanzanian Bongofleva singer Bob Junior ambaye anatamba na
nyimbo kibao amepata mchongo mwingine wa kupiga show nchini Denmark ili
kuwapa burudani mashabiki wake wa huko.
Akichonga
kutoka pande za mamtoni Bob junior alikiri kuwa na show nchini humo
tarehe 29 mwezi huu "yah nipo na show denmark tru dat 29 march". pia
chanzo kimoja kutoka Denmark kimekiri Bob Junior kuwa na show hiyo.
PAPA MPYA AANZA KAZI RASMI
Siku
yake ya kwanza ofisini kama Papa mtakatifu wa kanisa Katoliki, Papa
Francis 1 tayari anaanza kazi. Papa anatarajiwa kuwateua
wafanyakazi wakuu watakaohudumu katika Vatican chini ya uongozi wake. Ameanza siku yake kwa maombi ya kibinafsi katika hekalu ya mtakatifu Maria Maggiore mjini Rome. Baadaye Papa atafanya misa ya sherehe katika kanisa la Sistine.
Uteuzi atakaofanya Papa Francis, utatizamiwa kama ishara ya mageuzi katika uongozi uliozongwa na kashfa nyingi na pia utaonyesha mwelekeo anaonuia kuchukua kwa kanisa hilo.
Baadaye wikendi ijayo, Papa mpya anatarajiwa kukutana na vyombo vya habari vya dunia katika mkutano maalum.
Na Jumapili, ataongoza misa yake ya kwanza kama papa. Hata hivyo yeye mwenyewe atatawazwa rasmi kuwa Papa Francis 1, siku ya Jumanne.
wafanyakazi wakuu watakaohudumu katika Vatican chini ya uongozi wake. Ameanza siku yake kwa maombi ya kibinafsi katika hekalu ya mtakatifu Maria Maggiore mjini Rome. Baadaye Papa atafanya misa ya sherehe katika kanisa la Sistine.
Uteuzi atakaofanya Papa Francis, utatizamiwa kama ishara ya mageuzi katika uongozi uliozongwa na kashfa nyingi na pia utaonyesha mwelekeo anaonuia kuchukua kwa kanisa hilo.
Baadaye wikendi ijayo, Papa mpya anatarajiwa kukutana na vyombo vya habari vya dunia katika mkutano maalum.
Na Jumapili, ataongoza misa yake ya kwanza kama papa. Hata hivyo yeye mwenyewe atatawazwa rasmi kuwa Papa Francis 1, siku ya Jumanne.
DIAMOND AVUTA MKOKO WA PENNY
Diamond Platnums ambae
aliongoza kwa kuwa msanii wa bongo alieandikwa sana kwenye internet
mwaka 2012 amethibitisha kumnunulia mkoko mama watoto wake mtarajiwa.
aliulizwa kuhusu
fununu za kutumia Milioni 15 kununua gari la mke wake mtarajiwa
mtangazaji Penny ambae kwa sasa ni mjamzito.
Diamond amekiri kwamba ni kweli
kamnunulia Penny gari kwa sababu anaelekea kuwa mama watoto ambapo
namkariri akisema “nilimuuliza gari gani anapenda, nimemuagizia iko
njiani inakuja siwezi kusema ni bei gan ila kwa sasa anatumia la muda
wakati akisubiria gari lake”
Alipoulizwa kuhusu kumuoa na
kama mtoto atazaliwa nje ya ndoa, Diamond amejibu “siwezi kusema lini
ila Mwenyenzi Mungu ndio anajua inaweza ikawa harusi ila kuna time
inafika inabidi utulie, siwezi kusema chochote kwa sababu inawezekana
mtoto akazaliwa ndani ya ndoa pia “
Wednesday, February 27, 2013
WIZ KHALIFA BABA.....DUH!!!!
Amber Rose na mchumba wake Wiz Khalifa sasa ni wazazi wanaojivunia
kwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume.Sebastian Taylor Thomaz (yes, ikiwa na a z mwisho) amezaliwa siku ya Alhamis mchana Mapema siku hiyo a proud papa Wiz Khalifa posted a picture wearing scrubs na face mask na maelezo yaliyokuwa yakisema "daddy time" meaning wakati wa baba.
Mida ya saa nane mchana akipost, "Happy Birthday Sebastian "The Bash" Taylor Thomaz!!!
Everyone welcome this perfect young man into the world"mara ya mwisho wawili hao. Amber na Wiz, walionekana katika tuzo za grammy.
kwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume.Sebastian Taylor Thomaz (yes, ikiwa na a z mwisho) amezaliwa siku ya Alhamis mchana Mapema siku hiyo a proud papa Wiz Khalifa posted a picture wearing scrubs na face mask na maelezo yaliyokuwa yakisema "daddy time" meaning wakati wa baba.
Mida ya saa nane mchana akipost, "Happy Birthday Sebastian "The Bash" Taylor Thomaz!!!
Everyone welcome this perfect young man into the world"mara ya mwisho wawili hao. Amber na Wiz, walionekana katika tuzo za grammy.
Tuesday, February 5, 2013
POKEA HIII?!
Utamuacha Mwanamke fulani kwa kashfa zote na kejeli za kila namna
kwamba hafai na haoleki ILA Mwanaume mwingine atamchukua na kudate nae
na pengine atamuoa na wataishi kwa furaha na kuzaa watoto,
atasahau hata kama uliwahi kuwa Boy wake na kashfa zako...
Kapata Perfect Match yake....
Mwanamke fulani ataachwa na wewe utakutana nae na kumpokea,
na pengine utamuoa na kuishi kwa amani.Umepata Perfect match yako..
Hii inaitwa Love Circle...
Hakuna Mwanaume wala Mwanamke 2nd hand/Used kwamba hafai...
Kama hafai kwako kuna mtu kwake huyo mdada ni Malkia...
Kama hafai kwako,kuna mdada anamtamani amfanye awe mfalme wake..
Binadamu hana Mshale wa kuonyesha Kilomita ngapi katembea
au ana listi ya watu mia. Kuna watu wametumika kwelikweli,
wameshusha engine mara 6 na kumwaga oil nyeusi,
ila wameolewa na kutulizwa ndani..
Wewe unayejiona mpya mpya unanukia Nylon
bado unamanga manga...
Haijalishi ww ni Mpya au Used,
when ur perfect match arrives,
everything else about Past will be history!
WE UNGEFANYAJE!!
Dada mmoja alikuwa bafuni akioga,
mara akasikia hodi ikipigwa mlangoni,
akajibu karibu huku akijisetiri kwa taulo na kanga ili akampokee mgeni.
Alipofungua mlango,akakutana uso kwa uso na kijana mmoja kipofu aitwaye John,
akamkaribisha kiti,kwa sababu anajua John ni kipofu,akavua taulo lake na ile khanga,
akachukua mafuta ya lotion akaanza kujipaka kwa mbwembwe na pozi za kila aina. "Enhee rafiki yangu john,nambie,kuna jipya?umeadimika saana rafiki yangu.
John akamjibu,"yaap ni kweli niliadimika saana kwasababu nilikuwa China
kufanyiwa operation ya macho na sasa nina uwezo wa kuona vizuri kabisa,
kwa hiyo lengo la kuja hapa ni kukualika uje katika sherehe
niliyoiandaa kujipongeza kwa operation kwenda vyema.
Subscribe to:
Posts (Atom)




















