Ni ngoma mpya kabisa kutoka kwa mwanamuziki wa kizazi kipya, C-Low akiwa amemshirikisha mwanamuziki Yard Bash pamoja na mwanadada Tammy kwenye ngoma "SIDE B" ...
SIDE B ni mdundo wa ngoma ambao umefanywa na producer Nahreel pamoja na Mr. Thomas wakati video imetengenezwa na Director 2.5D pamoja na Wyclif kutoka kampuni ya Touch Of Art Vision Pro Creative Minds ...
Enjoy both the Audio and Video ...FOLLOW LINK BELOW
http://t.co/CW7YAoVzl4
Pages
Search This Blog
ushauri
Fay Pub
![Fay Pub](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhro4DShjpM1VVNc91gE9e8sqItv2katgNCxfmNpQmcPCADiEgPwSE23pjcfk_HXhJMtbLiTXQG3ND938ttfN2PU8hivdyChddB2b1uhm6oOgwNfWUtcwmKuyca161NkFaAp-zAUFtRSdwH/s760/FAY.jpg)
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453
tangaza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment