TAARIFA KUTOKA BUNGENI MUDA HUU AMBAPO WAZIRI LUKUVI AMETANGAZA
KURUDIWA UPYA KUSAHISHWA KWA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE KWA MWAKA
2012,
HII IMETOKANA NA MAPENDEKEZO YALIYO TOLEWA NA TUME ILIYO UNDWA
KUCHUNGUZA TATIZO LA WANAFUNZI WENGI KUFELI KATIKA HUO MTIHANI,PIA
AMESITISHA KUANZA KUTUMIKA KWA VIWANGO VIPYA VYA UFAULU.
Pages
Search This Blog
ushauri
Fay Pub
![Fay Pub](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhro4DShjpM1VVNc91gE9e8sqItv2katgNCxfmNpQmcPCADiEgPwSE23pjcfk_HXhJMtbLiTXQG3ND938ttfN2PU8hivdyChddB2b1uhm6oOgwNfWUtcwmKuyca161NkFaAp-zAUFtRSdwH/s760/FAY.jpg)
Fay Pub Sinza,We Rock,it is a good place to be cool and usalama wa kutosha!!Fay Pub ipo Sinza kumekucha,nyuma ya Seven Up kama unaelekea shamool Hotel,, kwa maelekezo piga namba 0715 556453
tangaza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment